News

Word: Jino Language: SwahiliPlural: Meno (teeth) Meaning:Jino means tooth — the hard structure in the mouth used for biting and chewing food.Origin:The word jino comes from the Proto-Bantu root * ...
Kutokana na kero hizo, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenani Kihongosi ametoa siku tatu kwa madereva wa vyombo hivyo kuondoa milio ...
Makamu Mkuu wa Muhas anayeshughulikia taaluma, Profesa Emmanuel Balandya alisema chuo hicho kina uhusiano mzuri na Urafansa ...
DIRA ya Taifa ya Maendeleo 2050 imetaja sekta zenye fursa ya mageuzi kiuchumi ikiwemo ya viwanda, kilimo na utalii. Imeeleza kuwa Tanzania inalenga kuwa kitovu cha viwanda chenye ushindani kimataifa ...
Naye Kaimu Balozi wa Uturuki nchini, Ali Ipek alisisitiza dhamira ya Uturuki kuimarisha biashara, uwekezaji na ushirikiano wa kiuchumi hasa katika miundombinu, kilimo, nishati na teknolojia. IPEK ...
Kwa mujibu wa ratiba hiyo, Agosti 22 mwaka huu, Halmashuri Kuu ya chama hicho ya Taifa inatarajia kukaa kikao kufikiria na kufanya uteuzi wa mwisho wa majina ya wanachama wanaoomba nafasi ya ubunge na ...
MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC), David Kafulila amesema ubia wa sekta ya umma na binafsi (PPP) ni muhimu katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ...
Hayo, yameelezwa na Mtaalam wa Nishati kutoka Ofisi ya Benki ya Dunia nchini Tanzania, Dk Rhonda Jordan wakati alipofanya ...
Ambapo Sheria ya Uchaguzi wa Rais ,wabunge na madiwani namba moja ya mwaka 2024 na Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ...
Misa hiyo imeongozwa na Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ambapo ...
MTWARA; Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk Hussein Ali Mwinyi, ameeleza kuwa Hayati Mzee Benjamin ...
GEITA; KAMPUNI ya Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) imejitosa kudhamini programu ya mashindano ya michezo kwa shule za ...